vendredi 11 mai 2012

Magazeti

Kusema ukweli ni kwamba ray hawezi kufanya kitu kama hicho kwakua walitoka nae mbali tusiko kujua,ukizingatia walikua maswahiba wakaribu,hata hivyo pia ray alikua juu sana kipesa zaidi ya marehemu,ihitilafu zao ni zakawaida,ila haiwezi kua sababu ya ku mua?kitu hicho siki ungi mkono hata sekunde 0,walikua kama mapacha,kwahio watu semeni madogo yenye maana THE GREATEST ha husiki nakitu hicho...